Halloween Costume ideas 2015

Angelina Jolie Aomba Talaka Kwa Brad Pitt

Na hawa pia? Ni swali ambalo unaweza kujiuliza uliposoma tu kichwa cha habari. Kwa mujibu wa tovuti ya TMZ, Angelina Jolie ameomba talaka kwa mume wake, Brad Pitt.

Wawili hao walifunga ndoa miaka miwili iliyopita, lakini wamekuwa pamoja kwa zaidi ya muongo sasa. Wamekuwa pamoja tangu mwaka 2004 na wana watoto sita, Maddox, Pax, Zahara, Shiloh, Vivienne, na Knox.

Nyaraka za kuomba talaka hiyo zimewasilishwa September 15. Jolie anataka aishi na watoto wote huku akiomba Pitt apewe ruhusa ya kuwasilimia.

TMZ imedai kuwa Jolie alikuwa hakubaliani na jinsi Pitt anavyowalea watoto wake. Jolie na Pitt walikutana mara ya kwanza kwenye filamu ya mwaka 2003, Mr. & Mrs. Smith.
Labels:

Chapisha Maoni

Click here win a free car today


Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Inaendeshwa na Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget