Halloween Costume ideas 2015

Video na Picha Diamond Akusanya Kijiji Mombasa

 
Mkali wa muziki kutoka Tanzania, Diamond Platnumz ameendelea kuonyesha umwamba wake nchini Kenya katika show iliyofanyika Mombasa Jumamosi hii na kuhudhuriwa na maelfu ya watu.

Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri Afrika pamoja na kimataifa, ameendelea kudhihirisha ukubwa wake baada ya show yake kuhudhuriwa maelfu wa mashabiki.

Kupitia instagram yake, Diamond aliandika “It’s 4:35 am now in East africa… am now going to sleep then right after waking up, will start posting my all Mombasa show Pictures…. thanks,”

Angalia video:
Labels:

Chapisha Maoni

Click here win a free car today


Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Inaendeshwa na Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget