Halloween Costume ideas 2015

Justin Bieber kumwagana na mpenzi wake Sofia Richie

Justin Bieber na mpenzi wake Sofia Richie wameachana.

Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, chanzo cha karibu cha wawili hao kimesema kuwa Bieber na Sofia hawajaonekana pamoja tangu mara ya mwisho walipokuwa vacation nchini Mexico wakati wa kusherehekea siku ya kuzaliwa ya Sofia aliyetimiza miaka 18.

Wikiendi hii Sofia alihudhuria kwenye sherehe ya Magazine Party akiwa na marafiki zake. Wawili hao walianza kuwa na mahusiano tangu mwezi Agosti, mwaka huu
Labels:

Chapisha Maoni

Click here win a free car today


Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Inaendeshwa na Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget