Halloween Costume ideas 2015

Wema Sepetu na Kiki mpya juu ya nyimbo mpya ya Diamond.......

Mwanadada Wema akiongea na kipindi kimoja cha redio leo mchana alipoulizwa yapi maoni yake kuhusu wimbo mpya wa Salome alisema wimbo ni mzuri sana na alitakiwa kufanya video lkn ilibidi walipe mil 75 kama gharama za yeye kutokea kwenye video lkn WCB walitaka kutoa mil 50 ndipo aliposhauriana na uongozi wake na kuamua kukataa.

"Ni kweli ningetokea kwenye video hiyo lakini walitoa pesa madafu,kaka mtangazaji siwezi kuuza sura kwa mil 50,ebu fikiria nimetumia karibia bilioni kutengeneza jina langu,nina biashara za mamilioni,leo Nassib anataka kunipa mil 50,that is not fair kwa kweli"

Mdau yapi maoni yako kuhusu gharama za huyu mlimbwende?
Labels:

Chapisha Maoni

Click here win a free car today


Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Inaendeshwa na Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget